Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa kwa usalama.+ Naye ataitwa jina hili: Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+

  • Yoeli 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Yehova atanguruma kutoka Sayuni,

      Atapaza sauti yake kutoka Yerusalemu.

      Na mbingu na dunia zitatikisika;

      Lakini Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+

      Ngome kwa watu wa Israeli.

  • Zekaria 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nitakuwa ukuta wa moto kulizunguka pande zote,”+ asema Yehova, “nami nitakuwa utukufu ndani yake.”’”+

  • Zekaria 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova wa majeshi atawalinda,

      Nao watayameza na kuyatiisha mawe ya kombeo.+

      Watakunywa na kupiga kelele, kana kwamba wamekunywa divai;

      Nao watajazwa kama bakuli,

      Kama pembe za madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki