2 Wafalme 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakamwambia: “Alikuwa mwanamume aliyevaa vazi la manyoya+ na mshipi wa ngozi kiunoni.”+ Mara moja akasema: “Ni Eliya Mtishbi.” Mathayo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kwa manyoya ya ngamia na alijifunga mshipi wa ngozi kiunoni.+ Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.+
8 Wakamwambia: “Alikuwa mwanamume aliyevaa vazi la manyoya+ na mshipi wa ngozi kiunoni.”+ Mara moja akasema: “Ni Eliya Mtishbi.”
4 Yohana alivaa mavazi yaliyofumwa kwa manyoya ya ngamia na alijifunga mshipi wa ngozi kiunoni.+ Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.+