Luka 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye Mlima wa Mizeituni,+ akawatuma wawili kati ya wanafunzi,+ Matendo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha wakarudi Yerusalemu+ kutoka kwenye Mlima wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, umbali wa safari ya siku ya sabato.
29 Alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye Mlima wa Mizeituni,+ akawatuma wawili kati ya wanafunzi,+
12 Kisha wakarudi Yerusalemu+ kutoka kwenye Mlima wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, umbali wa safari ya siku ya sabato.