Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku duniani kote+ ili adhihirishe nguvu zake* kwa niaba ya wale ambao moyo wao ni kamili* kumwelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa na kuendelea kutakuwa na vita dhidi yako.”+

  • Methali 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Macho ya Yehova yako kila mahali,

      Yakiwaangalia waovu na wema.+

  • Yeremia 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana macho yangu yanaona kila kitu wanachofanya.*

      Hawajafichwa kutoka mbele zangu,

      Wala kosa lao halijafichwa kutoka mbele ya macho yangu.

  • Ufunuo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikamwona mwanakondoo+ aliyeonekana kana kwamba amechinjwa,+ akiwa amesimama katikati ya kile kiti cha ufalme na katikati ya wale viumbe hai wanne na katikati ya wale wazee,+ akiwa na pembe saba na macho saba, na macho hayo yanamaanisha roho saba za Mungu+ ambazo zimetumwa katika dunia nzima.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki