-
Zekaria 4:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Kisha akaniuliza: “Unaona nini?”
Nikamjibu: “Tazama! ninaona kinara cha taa cha dhahabu tupu,+ na juu yake kuna bakuli. Kina taa saba juu yake,+ naam, saba, na taa hizo zilizo juu yake zina mirija saba. 3 Na kando yake kuna mizeituni miwili,+ mmoja upande wa kulia wa bakuli na mwingine upande wa kushoto.”
-