Zekaria 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha nikamuuliza: “Mizeituni hii miwili iliyo upande wa kulia na wa kushoto wa kinara cha taa inamaanisha nini?”+ Zekaria 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Akasema: “Hawa ndio wale watiwa-mafuta wawili wanaosimama kando ya Bwana wa dunia yote.”+ Ufunuo 11:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nitawafanya mashahidi wangu wawili watoe unabii kwa siku 1,260 wakiwa wamevaa nguo za magunia.” 4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni+ miwili na vile vinara viwili vya taa,+ na wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+
11 Kisha nikamuuliza: “Mizeituni hii miwili iliyo upande wa kulia na wa kushoto wa kinara cha taa inamaanisha nini?”+
3 Nitawafanya mashahidi wangu wawili watoe unabii kwa siku 1,260 wakiwa wamevaa nguo za magunia.” 4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni+ miwili na vile vinara viwili vya taa,+ na wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+