Hagai 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Lakini sasa jipe moyo Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘jipe moyo Yoshua mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu.’ “‘Nanyi watu wote wa nchi, jipeni moyo,’+ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’ “‘Kwa maana niko pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi. Ufunuo 11:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nitawafanya mashahidi wangu wawili watoe unabii kwa siku 1,260 wakiwa wamevaa nguo za magunia.” 4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni+ miwili na vile vinara viwili vya taa,+ na wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+
4 “‘Lakini sasa jipe moyo Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘jipe moyo Yoshua mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu.’ “‘Nanyi watu wote wa nchi, jipeni moyo,’+ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’ “‘Kwa maana niko pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi.
3 Nitawafanya mashahidi wangu wawili watoe unabii kwa siku 1,260 wakiwa wamevaa nguo za magunia.” 4 Hao wanafananishwa na ile mizeituni+ miwili na vile vinara viwili vya taa,+ na wamesimama mbele za Bwana wa dunia.+