Ezra 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wazee wa Wayahudi wakaendelea kujenga na kufanya maendeleo,+ wakitiwa moyo na nabii Hagai+ na Zekaria+ mjukuu wa Ido; wakamaliza kujenga kulingana na agizo la Mungu wa Israeli+ na agizo la Koreshi,+ Dario,+ na Mfalme Artashasta+ wa Uajemi. Zekaria 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Katika mwezi wa nane, mwaka wa pili wa utawala wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia nabii Zekaria*+ mwana wa Berekia mwana wa Ido, likisema:
14 Nao wazee wa Wayahudi wakaendelea kujenga na kufanya maendeleo,+ wakitiwa moyo na nabii Hagai+ na Zekaria+ mjukuu wa Ido; wakamaliza kujenga kulingana na agizo la Mungu wa Israeli+ na agizo la Koreshi,+ Dario,+ na Mfalme Artashasta+ wa Uajemi.
1 Katika mwezi wa nane, mwaka wa pili wa utawala wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia nabii Zekaria*+ mwana wa Berekia mwana wa Ido, likisema: