Yeremia 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na nchi hii yote itakuwa magofu na kitu cha kutisha, na mataifa haya yatalazimika kumtumikia mfalme wa Babiloni kwa miaka 70.”’+ Zekaria 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi malaika wa Yehova akauliza: “Ee Yehova wa majeshi, utaendelea hadi lini kukataa kuwaonyesha rehema wakaaji wa Yerusalemu na wa majiji ya Yuda,+ ambao umewakasirikia kwa miaka hii 70?”+
11 Na nchi hii yote itakuwa magofu na kitu cha kutisha, na mataifa haya yatalazimika kumtumikia mfalme wa Babiloni kwa miaka 70.”’+
12 Basi malaika wa Yehova akauliza: “Ee Yehova wa majeshi, utaendelea hadi lini kukataa kuwaonyesha rehema wakaaji wa Yerusalemu na wa majiji ya Yuda,+ ambao umewakasirikia kwa miaka hii 70?”+