Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lililosemwa na Yeremia,+ mpaka nchi ilipolipa sabato zake.+ Sikuzote ilipokuwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+

  • Yeremia 25:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na nchi hii yote itakuwa magofu na kitu cha kutisha, na mataifa haya yatalazimika kumtumikia mfalme wa Babiloni kwa miaka 70.”’+

      12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+

  • Danieli 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mimi, Danieli, nilitambua kutokana na vitabu* idadi ya miaka iliyokuwa imetajwa katika neno la Yehova kwa nabii Yeremia ili kutimiza ukiwa wa Yerusalemu,+ yaani, miaka 70.+

  • Zekaria 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Waambie watu wote nchini na makuhani, ‘Mlipofunga na kulia kwa sauti katika mwezi wa tano na mwezi wa saba+ kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki