Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 113:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kuanzia jua linapochomoza mpaka linapotua,

      Jina la Yehova na lisifiwe.+

  • Isaya 45:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ili watu wajue

      Kutoka mashariki hadi magharibi*

      Kwamba hakuna mwingine ila mimi.+

      Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+

  • Isaya 59:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wataliogopa jina la Yehova kuanzia magharibi

      Na kuanzia mashariki watauogopa utukufu wake,

      Kwa maana ataingia kama mto unaoenda kasi,

      Ambao unaendeshwa na roho ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki