Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jina lake tukufu na lisifiwe milele,+

      Na utukufu wake ujae duniani pote.+

      Amina na Amina.

  • Zaburi 86:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mataifa yote uliyoyaumba

      Yatakuja na kuinama mbele zako, Ee Yehova,+

      Nayo yatalitukuza jina lako.+

  • Isaya 59:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wataliogopa jina la Yehova kuanzia magharibi

      Na kuanzia mashariki watauogopa utukufu wake,

      Kwa maana ataingia kama mto unaoenda kasi,

      Ambao unaendeshwa na roho ya Yehova.

  • Malaki 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana tangu jua linapochomoza mpaka linapotua,* jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa.+ Kila mahali dhabihu zitafukizwa moshi, na matoleo yatatolewa kwa jina langu, yakiwa zawadi safi; kwa sababu jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa,”+ asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki