Zaburi 22:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Yehova. Familia zote za mataifa zitainama chini mbele zako.+ Sefania 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wakati huo nitabadili lugha ya mataifa iwe lugha safi,Ili wote waweze kuliitia jina la Yehova,Wamtumikie bega kwa bega.’*+ Mathayo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi, nendeni mkafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu, Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”
27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Yehova. Familia zote za mataifa zitainama chini mbele zako.+
9 Kwa maana wakati huo nitabadili lugha ya mataifa iwe lugha safi,Ili wote waweze kuliitia jina la Yehova,Wamtumikie bega kwa bega.’*+
19 Basi, nendeni mkafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu,
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”