38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina la Yesu Kristo ili msamehewe dhambi zenu,+ nanyi mtapokea zawadi ya bure ya roho takatifu.
12 Lakini walipomwamini Filipo, aliyekuwa akitangaza habari njema ya Ufalme wa Mungu+ na kuhusu jina la Yesu Kristo, wanaume na pia wanawake wakabatizwa.+