Mathayo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi, nendeni mkafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu, Matendo 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Krispo,+ ofisa msimamizi wa sinagogi akamwamini Bwana, yeye pamoja na watu wote wa nyumba yake. Na Wakorintho wengi waliosikia wakaanza kuamini na kubatizwa.
19 Basi, nendeni mkafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu,
8 Lakini Krispo,+ ofisa msimamizi wa sinagogi akamwamini Bwana, yeye pamoja na watu wote wa nyumba yake. Na Wakorintho wengi waliosikia wakaanza kuamini na kubatizwa.