Mathayo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na adui aliyepanda magugu ni Ibilisi. Mavuno ni umalizio wa mfumo wa mambo,* na wavunaji ni malaika. Mathayo 13:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.* Malaika wataenda kuwatenganisha waovu kutoka kwa waadilifu. Mathayo 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+
39 na adui aliyepanda magugu ni Ibilisi. Mavuno ni umalizio wa mfumo wa mambo,* na wavunaji ni malaika.
49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.* Malaika wataenda kuwatenganisha waovu kutoka kwa waadilifu.
3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+