Mathayo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na adui aliyepanda magugu ni Ibilisi. Mavuno ni umalizio wa mfumo wa mambo,* na wavunaji ni malaika. Mathayo 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na kuwafundisha kushika mambo yote niliyowaamuru.+ Na tazama! mimi nipo pamoja nanyi sikuzote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”*+ Marko 13:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, huku hekalu likiwa linaonekana, Petro, Yakobo, Yohana, na Andrea wakamuuliza faraghani: 4 “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo haya yatafikia mwisho?”+ Luka 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo wakamuuliza: “Mwalimu, kwa kweli mambo haya yatatukia lini, na ni ishara gani itakayoonyesha kwamba mambo haya yanakaribia kutokea?”+
39 na adui aliyepanda magugu ni Ibilisi. Mavuno ni umalizio wa mfumo wa mambo,* na wavunaji ni malaika.
20 na kuwafundisha kushika mambo yote niliyowaamuru.+ Na tazama! mimi nipo pamoja nanyi sikuzote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”*+
3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, huku hekalu likiwa linaonekana, Petro, Yakobo, Yohana, na Andrea wakamuuliza faraghani: 4 “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo haya yatafikia mwisho?”+
7 Ndipo wakamuuliza: “Mwalimu, kwa kweli mambo haya yatatukia lini, na ni ishara gani itakayoonyesha kwamba mambo haya yanakaribia kutokea?”+