Mathayo 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+ Marko 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo haya yatafikia mwisho?”+
3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+
4 “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo haya yatafikia mwisho?”+