Marko 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akaendelea kuwaambia: “Je, taa huletwa na kuwekwa chini ya kikapu* au chini ya kitanda? Je, hailetwi na kuwekwa juu ya kinara cha taa?+ Luka 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia.
21 Akaendelea kuwaambia: “Je, taa huletwa na kuwekwa chini ya kikapu* au chini ya kitanda? Je, hailetwi na kuwekwa juu ya kinara cha taa?+
33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia.