Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Watu hawawashi taa na kuiweka chini ya kikapu* bali huiweka kwenye kinara cha taa ili iwaangazie wote walio ndani ya nyumba.+

  • Luka 8:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka chini ya kitanda, bali huiweka kwenye kinara cha taa, ili iwaangazie wale wanaoingia.+ 17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafunuliwa, wala jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitajulikana na kuwa wazi.+

  • Luka 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki