-
Luka 8:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 “Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka chini ya kitanda, bali huiweka kwenye kinara cha taa, ili iwaangazie wale wanaoingia.+ 17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafunuliwa, wala jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitajulikana na kuwa wazi.+
-