Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Watu hawawashi taa na kuiweka chini ya kikapu* bali huiweka kwenye kinara cha taa ili iwaangazie wote walio ndani ya nyumba.+

  • Marko 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Akaendelea kuwaambia: “Je, taa huletwa na kuwekwa chini ya kikapu* au chini ya kitanda? Je, hailetwi na kuwekwa juu ya kinara cha taa?+

  • Luka 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia.

  • Wafilipi 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki