Mathayo 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Watu hawawashi taa na kuiweka chini ya kikapu* bali huiweka kwenye kinara cha taa ili iwaangazie wote walio ndani ya nyumba.+ Marko 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akaendelea kuwaambia: “Je, taa huletwa na kuwekwa chini ya kikapu* au chini ya kitanda? Je, hailetwi na kuwekwa juu ya kinara cha taa?+ Luka 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia. Wafilipi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
15 Watu hawawashi taa na kuiweka chini ya kikapu* bali huiweka kwenye kinara cha taa ili iwaangazie wote walio ndani ya nyumba.+
21 Akaendelea kuwaambia: “Je, taa huletwa na kuwekwa chini ya kikapu* au chini ya kitanda? Je, hailetwi na kuwekwa juu ya kinara cha taa?+
33 Hakuna mtu anayewasha taa na kuificha au kuiweka chini ya kikapu,* bali huiweka kwenye kinara cha taa,+ ili iwaangazie wale wanaoingia.
15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+