Mathayo 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi msiwaogope, kwa maana hakuna jambo lolote lililofunikwa ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+ Marko 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafichuliwa; hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa.+ Luka 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+
26 Basi msiwaogope, kwa maana hakuna jambo lolote lililofunikwa ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+
22 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafichuliwa; hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa.+
2 Lakini hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+