Marko 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafichuliwa; hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa.+ Luka 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafunuliwa, wala jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitajulikana na kuwa wazi.+
22 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafichuliwa; hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa.+
17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafunuliwa, wala jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitajulikana na kuwa wazi.+