Mathayo 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi msiwaogope, kwa maana hakuna jambo lolote lililofunikwa ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+ Luka 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+
26 Basi msiwaogope, kwa maana hakuna jambo lolote lililofunikwa ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+
2 Lakini hakuna jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+