Isaya 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Majani mabichi hukauka,Ua hunyauka,Lakini neno la Mungu wetu linadumu milele.”+ Luka 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa kweli, ni rahisi zaidi kwa mbingu na dunia kupitilia mbali kuliko sehemu yoyote ya herufi ya Sheria kukosa kutimia.+
17 Kwa kweli, ni rahisi zaidi kwa mbingu na dunia kupitilia mbali kuliko sehemu yoyote ya herufi ya Sheria kukosa kutimia.+