Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo,Na tangu zamani za kale mambo ambayo bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi* wangu utasimama,+Nami nitafanya jambo lolote ninalopenda.’+ 1 Petro 1:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wote wenye mwili ni kama nyasi, na utukufu wao wote ni kama ua la shambani; nyasi hukauka, na ua huanguka, 25 bali neno la Yehova* linadumu milele.”+ Na “neno” hilo ni habari njema mliyotangaziwa.+
10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo,Na tangu zamani za kale mambo ambayo bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi* wangu utasimama,+Nami nitafanya jambo lolote ninalopenda.’+
24 Kwa maana “wote wenye mwili ni kama nyasi, na utukufu wao wote ni kama ua la shambani; nyasi hukauka, na ua huanguka, 25 bali neno la Yehova* linadumu milele.”+ Na “neno” hilo ni habari njema mliyotangaziwa.+