Kutoka 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Usifanye uzinzi.+ Kumbukumbu la Torati 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Wala usifanye uzinzi.+ Luka 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Unazijua amri hizi: ‘Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitoe ushahidi wa uwongo,+ mheshimu baba yako na mama yako.’”+ Waroma 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyopo, zimejumlishwa katika maneno haya: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+
20 Unazijua amri hizi: ‘Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitoe ushahidi wa uwongo,+ mheshimu baba yako na mama yako.’”+
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ usiue,+ usiibe,+ usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyopo, zimejumlishwa katika maneno haya: “Lazima umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”+