Luka 6:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Mkiwapenda wale wanaowapenda, mnapata faida gani? Kwa maana hata watenda dhambi huwapenda wale wanaowapenda.+ 33 Na mkiwatendea mema wale wanaowatendea mema, mnapata faida gani? Hata watenda dhambi hufanya vivyo hivyo.
32 “Mkiwapenda wale wanaowapenda, mnapata faida gani? Kwa maana hata watenda dhambi huwapenda wale wanaowapenda.+ 33 Na mkiwatendea mema wale wanaowatendea mema, mnapata faida gani? Hata watenda dhambi hufanya vivyo hivyo.