Mathayo 5:46, 47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwa maana mkiwapenda wale wanaowapenda, mnapata thawabu gani?+ Je, wakusanya kodi hawafanyi vivyo hivyo? 47 Na mkiwasalimu ndugu zenu tu, mnafanya jambo gani lisilo la kawaida? Je, watu wa mataifa hawafanyi vivyo hivyo?
46 Kwa maana mkiwapenda wale wanaowapenda, mnapata thawabu gani?+ Je, wakusanya kodi hawafanyi vivyo hivyo? 47 Na mkiwasalimu ndugu zenu tu, mnafanya jambo gani lisilo la kawaida? Je, watu wa mataifa hawafanyi vivyo hivyo?