Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,

      Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+

      Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+

  • Methali 30:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yaondolee mbali nami mambo yasiyo ya kweli na ya uwongo.+

      Usinipe umaskini wala utajiri.

      Acha nile tu fungu langu la chakula,+

  • Mathayo 6:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Basi, msihangaike kamwe kuhusu kesho,+ kwa maana kesho itakuwa na mahangaiko yake yenyewe. Kila siku ina matatizo yake ya kutosha.

  • 1 Timotheo 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, tukiwa na chakula* na mavazi,* tutaridhika na vitu hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki