22 Na mbegu iliyopandwa kwenye miiba, ni yule anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo*+ na nguvu za udanganyifu za utajiri hulisonga neno, nalo halizai matunda.+
13 Hakuna mtumishi anayeweza kuwatumikia mabwana wawili, kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au atashikamana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kuwa watumwa wa Mungu na wa Utajiri.”+