Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana mahali ilipo hazina yako, ndipo moyo wako utakapokuwa pia.

  • Marko 4:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Bado kuna wengine ambao wamepandwa kwenye miiba. Hawa ndio wale wanaolisikia neno,+ 19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo* na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo mengine yote huingia na kulisonga neno, nalo halizai matunda.

  • Marko 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu akatazama huku na huku na kuwaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+

  • Luka 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mbegu zilizoanguka kwenye miiba, ni wale ambao wamesikia, lakini wanakengeushwa na mahangaiko, utajiri,+ na raha za maisha.+ Wao husongwa kabisa na hawakomai.+

  • 1 Timotheo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka kwenye majaribu, na mtego,+ na tamaa nyingi za kijinga zenye kudhuru ambazo hutumbukiza watu kwenye maangamizi na uharibifu.+

  • 2 Timotheo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo* wa sasa, naye ameenda Thesalonike, Kresensi ameenda Galatia, Tito ameenda Dalmatia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki