22 Na mbegu iliyopandwa kwenye miiba, ni yule anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo*+ na nguvu za udanganyifu za utajiri hulisonga neno, nalo halizai matunda.+
18 Bado kuna wengine ambao wamepandwa kwenye miiba. Hawa ndio wale wanaolisikia neno,+19 lakini mahangaiko+ ya mfumo huu wa mambo* na nguvu za udanganyifu za utajiri+ na tamaa+ za mambo mengine yote huingia na kulisonga neno, nalo halizai matunda.