Methali 23:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usijichoshe kupata utajiri.+ Acha, na uonyeshe uelewaji.* 5 Ukiutupia jicho, haupo,+Kwa maana hakika utaota mabawa kama ya tai na kuruka mbali angani.+ Marko 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akatazama huku na huku na kuwaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+ Luka 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akamtazama na kusema: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!+ 1 Timotheo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka kwenye majaribu, na mtego,+ na tamaa nyingi za kijinga zenye kudhuru ambazo hutumbukiza watu kwenye maangamizi na uharibifu.+ 2 Timotheo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo* wa sasa, naye ameenda Thesalonike, Kresensi ameenda Galatia, Tito ameenda Dalmatia.
4 Usijichoshe kupata utajiri.+ Acha, na uonyeshe uelewaji.* 5 Ukiutupia jicho, haupo,+Kwa maana hakika utaota mabawa kama ya tai na kuruka mbali angani.+
23 Yesu akatazama huku na huku na kuwaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+
24 Yesu akamtazama na kusema: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!+
9 Lakini wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka kwenye majaribu, na mtego,+ na tamaa nyingi za kijinga zenye kudhuru ambazo hutumbukiza watu kwenye maangamizi na uharibifu.+
10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu aliupenda mfumo wa mambo* wa sasa, naye ameenda Thesalonike, Kresensi ameenda Galatia, Tito ameenda Dalmatia.