Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Anayeutumaini utajiri wake ataanguka,+

      Lakini waadilifu watasitawi kama majani.+

  • Mathayo 19:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa kweli ninawaambia, itakuwa vigumu kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.+

  • Marko 10:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu akatazama huku na huku na kuwaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+ 24 Lakini wanafunzi wakashangazwa na maneno yake. Naye Yesu akawaambia: “Wanangu, ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa Mungu!

  • 1 Timotheo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka kwenye majaribu, na mtego,+ na tamaa nyingi za kijinga zenye kudhuru ambazo hutumbukiza watu kwenye maangamizi na uharibifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki