23 Yesu akatazama huku na huku na kuwaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+24 Lakini wanafunzi wakashangazwa na maneno yake. Naye Yesu akawaambia: “Wanangu, ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa Mungu!
9 Lakini wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka kwenye majaribu, na mtego,+ na tamaa nyingi za kijinga zenye kudhuru ambazo hutumbukiza watu kwenye maangamizi na uharibifu.+