Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ikiwa nilifanya dhahabu kuwa tumaini langu

      Au kuiambia dhahabu bora, ‘Wewe ni mlinzi wangu!’+

  • Ayubu 31:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi hilo ni kosa linalostahili adhabu kutoka kwa waamuzi,

      Kwa maana nitakuwa nimemkana Mungu wa kweli aliye juu.

  • Zaburi 52:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ndiyo sababu Mungu atakubomoa milele na milele;+

      Atakunyakua na kukurarua kutoka katika hema lako;+

      Atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ (Sela)

  • Zaburi 52:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 “Huyu ndiye mwanamume ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake,*+

      Lakini aliutumaini utajiri wake mwingi+

      Na kutegemea* njama zake mwenyewe za uovu.”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki