Zaburi 49:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wale wanaotumaini mali zao+Na kujigamba kuhusu utajiri wao mwingi,+ 7 Hakuna yeyote kati yao anayeweza kamwe kumkomboa ndugu yakeWala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,+ 1 Timotheo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+
6 Wale wanaotumaini mali zao+Na kujigamba kuhusu utajiri wao mwingi,+ 7 Hakuna yeyote kati yao anayeweza kamwe kumkomboa ndugu yakeWala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,+ 1 Timotheo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+
17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+