Zaburi 49:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wale wanaotumaini mali zao+Na kujigamba kuhusu utajiri wao mwingi,+ 7 Hakuna yeyote kati yao anayeweza kamwe kumkomboa ndugu yakeWala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,+ Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayeutumaini utajiri wake ataanguka,+Lakini waadilifu watasitawi kama majani.+
6 Wale wanaotumaini mali zao+Na kujigamba kuhusu utajiri wao mwingi,+ 7 Hakuna yeyote kati yao anayeweza kamwe kumkomboa ndugu yakeWala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake,+ Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayeutumaini utajiri wake ataanguka,+Lakini waadilifu watasitawi kama majani.+