2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+
Naye huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+
3 Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,
Mti unaozaa matunda katika majira yake,
Na majani yake hayanyauki.
Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+