Marko 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akatazama huku na huku na kuwaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+ Luka 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akamtazama na kusema: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!+ 1 Timotheo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kupenda pesa ndicho chanzo cha mambo mabaya ya kila aina, na kwa kujitahidi kufikia upendo huo, wengine wamepotoshwa kutoka kwenye imani na kujichoma kila mahali kwa maumivu mengi.+
23 Yesu akatazama huku na huku na kuwaambia wanafunzi wake: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!”+
24 Yesu akamtazama na kusema: “Itakuwa vigumu sana kwa wale walio na pesa kuingia katika Ufalme wa Mungu!+
10 Kwa maana kupenda pesa ndicho chanzo cha mambo mabaya ya kila aina, na kwa kujitahidi kufikia upendo huo, wengine wamepotoshwa kutoka kwenye imani na kujichoma kila mahali kwa maumivu mengi.+