Mathayo 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Hakuna anayeweza kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine,+ au atashikamana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kutumikia Mungu na Utajiri.+
24 “Hakuna anayeweza kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine,+ au atashikamana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kutumikia Mungu na Utajiri.+