-
Mathayo 6:24Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
24 “Hakuna awezaye kutumikia kama mtumwa mabwana-wakubwa wawili; kwa maana ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kutumikia kama watumwa Mungu na Utajiri.
-