22 Na mbegu iliyopandwa kwenye miiba, ni yule anayelisikia neno, lakini mahangaiko ya mfumo huu wa mambo*+ na nguvu za udanganyifu za utajiri hulisonga neno, nalo halizai matunda.+
14 Mbegu zilizoanguka kwenye miiba, ni wale ambao wamesikia, lakini wanakengeushwa na mahangaiko, utajiri,+ na raha za maisha.+ Wao husongwa kabisa na hawakomai.+