29 Basi acheni kutafuta kile mtakachokula au mtakachokunywa, na acheni kuhangaika kwa wasiwasi;+ 30 kwa maana mataifa yanatafuta vitu hivi vyote kwa bidii, lakini Baba yenu anajua mnahitaji vitu hivi.+ 31 Badala yake, endeleeni kuutafuta Ufalme wake, nanyi mtaongezewa vitu hivyo.+