Luka 6:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa kamwe;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa kamwe. Endeleeni kusamehe,* nanyi mtasamehewa.*+ Waroma 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo huwezi kujitetea, ewe mwanadamu, hata uwe nani,+ ikiwa unahukumu; kwa maana unapomhukumu mwingine, unajihukumu wewe mwenyewe, kwa sababu wewe unayehukumu umezoea kufanya mambo hayohayo.+ Waroma 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo tusiwe tukihukumiana tena,+ badala yake tuazimie kutoweka kikwazo au kizuizi mbele ya ndugu.+
37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa kamwe;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa kamwe. Endeleeni kusamehe,* nanyi mtasamehewa.*+
2 Kwa hiyo huwezi kujitetea, ewe mwanadamu, hata uwe nani,+ ikiwa unahukumu; kwa maana unapomhukumu mwingine, unajihukumu wewe mwenyewe, kwa sababu wewe unayehukumu umezoea kufanya mambo hayohayo.+
13 Kwa hiyo tusiwe tukihukumiana tena,+ badala yake tuazimie kutoweka kikwazo au kizuizi mbele ya ndugu.+