Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 6:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Zaidi ya hayo, acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa kamwe;+ na acheni kulaumu, nanyi hamtalaumiwa kamwe. Endeleeni kusamehe,* nanyi mtasamehewa.*+

  • Waroma 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo huwezi kujitetea, ewe mwanadamu, hata uwe nani,+ ikiwa unahukumu; kwa maana unapomhukumu mwingine, unajihukumu wewe mwenyewe, kwa sababu wewe unayehukumu umezoea kufanya mambo hayohayo.+

  • Waroma 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo tusiwe tukihukumiana tena,+ badala yake tuazimie kutoweka kikwazo au kizuizi mbele ya ndugu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki