Mathayo 7:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Acheni kuhukumu+ ili msihukumiwe; 2 kwa maana kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa,+ na kwa kipimo mnachowapimia watu, ndicho watakachowapimia.+ Waroma 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa nini unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.+
7 “Acheni kuhukumu+ ili msihukumiwe; 2 kwa maana kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa,+ na kwa kipimo mnachowapimia watu, ndicho watakachowapimia.+
10 Lakini kwa nini unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.+