Mathayo 18:33, 34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Je, hukupaswa pia kumwonyesha rehema mtumwa mwenzako kama nilivyokuonyesha rehema?’+ 34 Ndipo bwana wake akiwa amekasirika sana, akamkabidhi kwa walinzi wa jela mpaka alipe deni lake lote. Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yule asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atahukumiwa bila rehema.+ Rehema hushinda hukumu.
33 Je, hukupaswa pia kumwonyesha rehema mtumwa mwenzako kama nilivyokuonyesha rehema?’+ 34 Ndipo bwana wake akiwa amekasirika sana, akamkabidhi kwa walinzi wa jela mpaka alipe deni lake lote.
13 Kwa maana yule asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atahukumiwa bila rehema.+ Rehema hushinda hukumu.