Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tena akawaambia: “Sikilizeni kwa makini mambo mnayosikia.+ Kwa kipimo mnachopima, ndicho mtakachopimiwa, ndiyo, mtaongezewa hata zaidi.

  • Luka 6:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, nanyi mtapewa.+ Watawamwagia kwenye mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa, na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachowapimia watu, ndicho watakachowapimia.”

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki