18 Kwa hiyo, kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza, kwa maana yule aliye na kitu ataongezewa,+ lakini yule asiye na kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+
25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+