Mathayo 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana yeyote aliye na kitu ataongezewa, naye atazidishiwa; lakini yeyote asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Mathayo 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu ataongezewa, naye atakuwa na vitu vingi. Lakini mtu asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+ Marko 4:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Tena akawaambia: “Sikilizeni kwa makini mambo mnayosikia.+ Kwa kipimo mnachopima, ndicho mtakachopimiwa, ndiyo, mtaongezewa hata zaidi. 25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa,+ lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+ Luka 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ‘Ninawaambia, kila mtu aliye na kitu, ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
12 Kwa maana yeyote aliye na kitu ataongezewa, naye atazidishiwa; lakini yeyote asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
29 Kwa maana kila mtu aliye na kitu ataongezewa, naye atakuwa na vitu vingi. Lakini mtu asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+
24 Tena akawaambia: “Sikilizeni kwa makini mambo mnayosikia.+ Kwa kipimo mnachopima, ndicho mtakachopimiwa, ndiyo, mtaongezewa hata zaidi. 25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa,+ lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.”+
26 ‘Ninawaambia, kila mtu aliye na kitu, ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.+